Jinsi Ambavyo Kwa Kutumia Mmea Wa Griffonia simplicifolia Unaweza Kuongeza UJASIRI Wako Chumbani Na Kutumia Zaidi Ya Dakika 45 Kumfikisha Mkeo Kabla Ya Bao La Kwanza Na Huku Mlingoti Wako Ukiendelea Kusimama Kwa Ukakamavu Bila Kuhisi Kuchoka!


Kama Unataka Kuongeza Muda Wako Wa Kufanya Tendo la Ndoa…



Na Kuhisi Uume Umesimama Kwa Muda Mrefu…



Ili Kuimarisha Ujasiri Na Kujiamini…



Pamoja Na Kuboresha Furaha Ya Mkeo…



Unapo Kuwa Naye Chumbani…



Basi Unahitaji Kusoma Kila Neno Katika Ukurasa Huu Kwasababu...



Unakwenda Kutambua Mbinu Ambayo Itakuwezesha Kushiriki Tendo La Ndoa kwa Ukakamavu Na Kwa Muda Wa Zaidi Ya Dakika 45 Kisha Kupewa HONGERA Na Mkeo.



Kwa majina naitwa khalifa.



Najua ni kwa jinsi gani tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7, linavyokukosesha amani, kaka yangu pia alikuwa na tatizo kama lako.



Nina uhakika kama ilivyokuwa kwa kaka yangu, hata wewe pia umejaribu mbinu mbalimbali za kuweza kuondokana na tatizo hili, lakini umeishia kupoteza fedha na muda kwenye mbinu ambazo hazifanyi kazi.



Tazama,



kaka yangu alijaribu kutumia mitishamba akiwa na imani itamsaidia lakini cha kushangaza mwezi mmoja mbele mke wake aliendelea kuonyesha dharau na kumfanya apoteze ujasiri na kujiamini anapo kuwa naye chumbani.



Kwani ndani ya dakika 7 tu anakuwa tayari ametoa mbegu na hawezi endelea.

Siku moja weekend allijaribu kubadili mazingira na mkewe pia siku hio aligundua tatizo bado lipo na hali haijabadilika.



Hakuishia hapo...



Akaanza kutumia dawa za hospitalini.



Alitumia dawa za hospitalini kwa muda wa miezi sita. Taarifa mbaya ni kwamba tatizo lake la kuwahi kutoa mbegu halikuisha,



bali aligeuka kuwa mtumwa wa kumeza hizo dawa kila siku na bado hali haikubadilika.



Akashauriwa ili tatizo lake liishe inatakiwa afanye tiba ya kisaikolojia na mazoezi maalum. Hakuwa na namna akajaribu hizo mbinu zote.



Hali ikabaki vilevile.



Baada ya mwaka mmoja na miezi kadhaa, alihisi kama tatizo limeongezeka zaidi.

Akaanza hekaheka za kutafuta dawa za kumsaidia kuondokana na tatizo hilo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7.



Nikamsihi huyu kaka yangu atumie virutubisho fulani kutoka shirika ninapofanyia kazi akawa mgumu kunisikiliza.



Kwa jeuri yake akaenda kununua virutubisho kutoka kampuni ambayo sitoitaja hapa maana sipo kwa ajili ya kuharibu biashara za watu hapa.



Basi akanunua virutubisho hivyo na akaanza kuvitumia.



Mwezi mmoja kupita hakuna alichoambulia zaidi ya kupoteza pesa zake.

Kwa upole akamtafuta baba na kumuelezea.



Baba naye akamwambia anitafute.



Basi akanitafuta na kuniambia sasa yupo tayari kujaribu virutubisho nilivyomshauri atumie.



Alivyoanza kutumia virutubisho hivi, wiki ya kwanza tu alianza kuona mabadiliko.



Alianza kuwa na stamina ya kudhibiti utoaji wa mbegu na hali ya kuwahi kutoa mbegu ikaanza kupungua taratibu siku hadi siku.



Mpaka mwezi kuisha,



…aliweza kumridhisha mke wake mpaka mkewe kuanza kumuita baba lao na kufurahia tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi mpaka kumwambia asante mme wangu pale wanapo maliza.



Baada ya kutumia dozi kamili sasa yapata mwaka wa 6, tatizo lake la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 halijawahi kurudi tena na hali hiyo imebaki historia kwake.



Pengine unatamani kujua kaka yangu alitumia virutubisho vipi ambavyo vimemsaidia kuondokana na tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 na kuzuia hali hiyo kutojirudia tena…



Usijali ndani ya dakika 3 tu zijazo nitakwambia alitumia nini lakini kwanza unatakiwa ujue kwamba...



Tafiti Za Kisayansi Zinaonesha Kwamba Wanaume Wengi Wenye Tatizo la Kuwahi Kutoa Mbegu Wanajitahidi Kulitatua Bila Mafanikio!


Kama ulivyoona,



tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 ni jambo linalowakumba wanaume wengi.



Tafiti zinaonesha kuwa zaidi ya nusu ya wanaume wenye umri kati ya miaka 35 hadi 60 wanapitia changamoto hii angalau mara moja katika maisha yao ya ndoa.



Na kati ya wote wanaokabiliana na tatizo hili, wengine wameanza kuona athari mbaya kwenye uhusiano wao wa kimapenzi,



wakati wengine bado hawajaona mabadiliko makubwa.



Kwahiyo,



kama hujaanza kuona athari yoyote kwenye tendo la ndoa, tambua kwamba tatizo linaweza kuwa lipo,



lakini upo kwenye kundi la wanaume ambao bado hawajaathirika sana.



Lini tatizo hili litaanza kuathiri uhusiano wako?



Hakuna anayejua.



Muda wowote - Unaweza ukaanza kuona athari kwenye uhusiano wako,



kama vile kupoteza ujasiri wa kufanya tendo la ndoa au kuogopa kuwa hautamridhisha mwenzi wako.



Kwa yule ambaye tatizo hili limeshaanza kuleta athari kwenye uhusiano wake, dalili zake zinajidhihirisha kwa kujihisi kutotosheleza wakati wa tendo la ndoa,



kupoteza hamu ya tendo la ndoa kwa sababu ya hofu ya kutofaulu, na kushindwa kudhibiti muda wa utoaji wa mbegu.



Kuna baadhi ya wanaume ambao dalili hizi ni kali sana, wakati wengine wanaweza kuzidhibiti kiasi, lakini ukweli unabaki pale pale – tatizo hili linaathiri uhusiano na ujasiri wa mwanaume.



Tafiti zinaonesha kwamba ukali wa tatizo hili haumaanishi kuwa mwanaume huyo ana matatizo makubwa ya kiafya.



Wengine wanapitia hali hii kutokana na hali duni ya maisha.



Taarifa mbaya ni kwamba…



Licha ya tafiti nyingi kufanyika juu ya sababu zinazochangia tatizo hili la kuwahi kutoa mbegu, bado haijajulikana kwa uhakika nini hasa kinasababisha hali hii.



Kwa sababu tatizo hili linaweza kutokea kwa wanaume wa umri wowote,



makisio yanayotolewa ni kwamba huenda kisababishi kikawa ni magojwa, au matatizo ya tabia za ukuaji [punyeto], lakini hayo yote ni nadharia tu.



Kwakuwa chanzo halisi cha tatizo hili kimekuwa kigumu kubainika, imekuwa ngumu kutengeneza dawa sahihi ya kulitatua bila kujua kinachosababisha.



Ndio maana kwa miaka mingi, suluhisho la tatizo hili limekuwa ni kuchukua hatua za kisaikolojia, na kufanya mazoezi.



Lakini hata hivyo, hatua hizi hazijatatua tatizo hili kwa ufanisi wa kudumu.



Na wengine hujikuta wakitumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambazo hazijatatua chanzo cha tatizo bali hushughulikia dalili tu.



Tatizo la kutumia njia hizi ni kwamba, hazitoi suluhisho la kudumu na mara nyingi tatizo linajirudia baada ya muda.



Pia, matumizi ya dawa hizi yanaweza kupelekea athari nyingine kama vile kutokuwa na uwezo wa kudhibiti kabisa utoaji wa mbegu.



Hivyo basi, ni wazi kuwa suluhisho kamili na la kudumu la tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 bado linahitajika.



Lakini kabla ya kuelezea zaidi kuhusu jinsi unaweza kupata suluhisho hilo, unatakiwa kujua…



Chanzo Cha Kutengenezwa Kwa Dawa Iliyomsaidia kaka Yangu Mpaka Akapona Na Kuzuia Tatizo la Kuwahi Kutoa Mbegu Chini ya Dakika 7!



Kama nilivyokwambia,



huwezi kutengeneza tiba ya tatizo fulani la kiafya wakati hujui kisababishi cha tatizo hilo ni kipi.



Lakini…



NATURE'S WAY, katika tafiti zao za muda mrefu, wameweza kugundua moja ya visababishi vya tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7.



Na ugunduzi huu wa visababishi vya tatizo hili ndio umepelekea shirika hili la kimarekani kugundua kanuni ya kutengeneza vidonge asilia...



...kabisa ambavyo vinarejesha ujasiri wa mwanaume na kumwezesha kudhibiti muda wa utoaji wa mbegu bila wasiwasi wa kumwangusha mwenzi wake.



Kisababishi cha tatizo la kuwahi kutoa mbegu walichokigundua ni usawa usiofaa wa vichochezi (hormones) mwilini pamoja na msongo wa mawazo (stress) ambao unapelekea kuathiri mfumo wa neva unaohusika na udhibiti wa utoaji wa mbegu.



Naomba nikuelezee zaidi:



Kawaida, kila mwanaume anapitia mabadiliko ya vichochezi mwilini, hasa wakati wa kubalehe.



Hii ni hatua muhimu ambapo mwili wa mwanaume huanza kuzalisha kiwango kikubwa cha testosterone, homoni ambayo ni muhimu kwa nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa.



Lakini,



kadri umri unavyoongezeka au unapokuwa na msongo wa mawazo,



kiwango cha testosterone kinaweza kuanza kupungua au kubadilika, na kusababisha mabadiliko katika udhibiti wa neva unaohusika na utoaji wa mbegu.



Wakati msongo wa mawazo na hofu vinaongezeka, mwili unaanza kutoa kemikali zinazojulikana kama norepinephrine na adrenaline.



Kemikali hizi huongeza kasi ya mapigo ya moyo na kusababisha misuli ya mwili kujikaza, ikiwa ni pamoja na misuli inayodhibiti utoaji wa mbegu.



Hii inamaanisha kwamba, wakati unakuwa na hofu au msongo wa mawazo, mfumo wa neva huchochewa kufanya kazi haraka sana, na kusababisha utoaji wa mbegu kabla hujataka.



Kwahiyo,



utaona kila unapojaribu kufanya tendo la ndoa, unashindwa kudhibiti muda wa utoaji wa mbegu kutokana na uchochezi wa norepinephrine na adrenaline.



Ni Kwa Namna Gani norepinephrine na adrenaline Uchangia Katika Kusababisha Kuwahi Kutoa Mbegu Chini ya Dakika 7?



Kama ulivyoweza kuona, maisha yako yanapokuwa na changamoto mbalimbali za kimaisha, kazi, na mahusiano, norepinephrine na adrenaline unazidi kuongezeka.



Unapokuwa na ogezeko la norepinephrine na adrenaline, unakabiliwa na hali ya mvurugiko wa vichochezi (hormones) mwilini,



hali ambayo ina athari kubwa kwenye utendaji wako wa kimwili, ikiwemo uwezo wako wa kudhibiti utoaji wa mbegu.



Kinachosababisha kuwahi kutoa mbegu ni mvurugiko huu wa homoni pamoja na ongezeko la norepinephrine na adrenaline.



Kivipi?



Kwa namna ifuatayo:



Mfumo wako wa neva[fahamu] unadhibitiwa na vichochezi (homoni) kama testosterone, norepinephrine, na adrenaline.



Homoni hizi hufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti mchakato wa kutoa mbegu wakati wa tendo la ndoa.



Wakati kila kitu kinaenda sawa,



homoni ya testosterone inasaidia kudumisha hamu ya tendo la ndoa na kuleta ujasiri wa kudhibiti utoaji wa mbegu.



Lakini unapokuwa na msongo wa mawazo, mwili wako unazalisha kemikali kama norepinephrine na adrenaline kwa wingi,



ambazo zinafanya kazi ya kuamsha haraka mfumo wa neva[fahamu].



Hii inamaanisha kwamba, unapokuwa na hofu, wasiwasi, au msongo wa mawazo, mfumo wako wa neva[fahamu] unachochewa kufanya kazi kwa kasi zaidi,



na kusababisha utoaji wa mbegu kutokea haraka kabla hujapata muda wa kudhibiti.



Kwa hiyo,



kwa namna moja au nyingine, kemikali kama norepinephrine na adrenaline kuzalishwa kwa wingi ni moja ya visababishi vya tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7.



Unajua kwanini, hata baada ya kutumia dawa mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume, tatizo hili linaweza kurudi tena?



Kinachosababisha tatizo kurudi ni kwamba dawa hizi mara nyingi haziwezi kushughulikia chanzo halisi cha tatizo



—ambacho ni kemikali kama norepinephrine na adrenaline kwazalishwa kwa wingi.



Badala yake, dawa hizi zinashughulikia tu dalili za muda mfupi.



Kwa kuwa kemikali kama norepinephrine na adrenaline zinaedelea kuzalishwa kwa wingi, na mfumo wako wa neva[fahamu]...



...unaendelea kuchochewa kwa kasi, tatizo la kuwahi kutoa mbegu linaweza kurudi tena baada ya muda.



Kwa hiyo,



ni muhimu kutafuta suluhisho ambalo litatatua chanzo halisi cha tatizo—kuondoa uzalishaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline mwilini,



ili kudhibiti utoaji wa mbegu kwa ufanisi na kwa kudumu.



Kila Kitu Kinachotokea Mwilini Lazima Kina Chanzo Chake. Kwa Hivyo Ngoja Nikuoneshe Chanzo Cha Uzalishaji Mkubwa wa Norepinephrine na Adrenaline mwilini mwako



Norepinephrine na adrenaline ni homoni zinazozalishwa mwilini na zina jukumu kubwa katika jinsi unavyojibu hali za dharura au msongo wa mawazo.



Homoni hizi zinajulikana kama "fight or flight" hormones,



kwani huandaa mwili wako kukabiliana na hatari au changamoto kwa kuongeza kasi ya mapigo ya moyo,



kuongeza nishati, na kuboresha mtiririko wa damu kwenye misuli.



Sasa, ili kuelewa chanzo cha uzalishaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline,



ni muhimu kufahamu kwamba mwili wako unazalisha homoni hizi zaidi wakati unapokabiliana na hali ya msongo wa mawazo, hofu, au shinikizo la kimwili au kiakili.



Chanzo Kikuu ni Msongo wa Mawazo (Stress)



Msongo wa mawazo ni hali ambayo mwili wako hupitia wakati unakabiliana na hali ya shinikizo au changamoto.



Msongo huu unaweza kuwa wa muda mfupi (acute stress),



kama vile unapokabiliana na hali ya ghafla ya hatari, au wa muda mrefu (chronic stress),



kama vile unavyokabiliana na matatizo ya kifedha, kazi, au mahusiano.



Jinsi Msongo wa Mawazo Unavyosababisha Uzalishaji Mkubwa wa Norepinephrine na Adrenaline



Wakati unakutana na hali ambayo inaonekana kuwa ya hatari au yenye changamoto,



ubongo wako unapeleka ishara kwa tezi ya adrenali, ambayo huchochea uzalishaji wa norepinephrine na adrenaline.



Homoni hizi husaidia mwili wako kujiandaa kupambana au kukimbia kutoka kwenye hatari hiyo.



Matokeo yake ni kwamba moyo wako unapiga kwa kasi, pumzi yako inakuwa ya haraka, na nishati nyingi hutolewa kwa ajili ya misuli yako.



Muda mwingine ni Wakati hali ya msongo wa mawazo inakuwa ya muda mrefu, kama vile kazi yenye shinikizo kubwa,



matatizo ya kifedha, au matatizo ya kifamilia, mwili wako unaendelea kuzalisha norepinephrine na adrenaline kwa wingi.



Hali hii inaweza kusababisha madhara mengi kwa afya yako, ikiwa ni pamoja na uchovu wa mwili usio isha kila siku,



kukosa hamu ya tendo la ndoa,, na hata kuwahi kutoa mbegu kwa sababu mwili unakuwa katika hali ya tahadhari muda mwingi.



Lakini pia Kuna vichochezi vingine kama vile matumizi ya kahawa kwa wingi, sigara,



au madawa ya kulevya ambayo yanaweza kusababisha mwili wako kuzalisha norepinephrine na adrenaline kwa wingi.



Wakati uzalishaji wa homoni hizi ukidhibitiwa, mwili wako unaweza kudhibiti vyema msongo wa mawazo



na kuondoa tatizo la kuwahi kufika kileleni chini ya dakika 7.

Kwa maelezo rahisi ni kwamba...



kudhibiti msongo wa mawazo ni sawa na kupunguza uzalishaji wa norepinephrine na adrenaline mwilini,



na hivyo kuongeza ukakamavu na ujasiri wa mwili na muda wa kufanya tendo la ndoa.



Ngoja nikufafanulie kwa mfumo rahisi unielewe..



Kuongezeka kwa uzalishaji wa norepinephrine na adrenaline mwilini ni Kama Maji Yanayotoka Haraka Pindi Pipa Linapopoteza ufanisi wa bomba lake la kutoa maji na kupasuka



Fikiria mwili wako ni kama pipa lililojaa maji.



Maji hayo yanaashiria homoni zote mwilini zikiwemo norepinephrine na adrenaline.



Wakati pipa linabaki kuwa imara, maji yanatoka kwa kiasi kidogo na kwa utaratibu wa mtumiaji bombani.



Hii ni sawa na mwili wako ukiwa na hali ya kawaida,



ambapo homoni zote mwilini zinazalishwa kwa kiwango kinachofaa kusaidia majukumu ya mwili ya kila siku.



Lakini sasa fikiria pipa hili linazidiwa kisha linapasuka kwa kufyatua mpini wa bomba.



Maji yanaanza kutiririka kwa kasi sana, kasi ambayo mtumiaji hawezi kuizuia.



Hii ni sawa na wakati mwili wako unapokumbana na hali ya msongo wa mawazo au hatari,



ambapo norepinephrine na adrenaline huzalishwa kwa wingi mno.



Maji yanayotiririka kwa kasi ni sawa na jinsi homoni hizi zinavyotiririka kwa kasi mwilini,



zikisababisha mabadiliko makubwa mwilini kama vile kutumia dakika 3 mpaka 7 wakati wa tendo kufika kileleni,


kupoteza ujasiri na kujiamini wakati wa tendo, uchovu mkubwa baada ya kutoa mbegu,



kushindwa kurudia tendo, pia hata kukosa hamu ya tendo la ndoa.



Katika mchakato huu wa mwili wako,



kuna aina ya homoni na kemikali ambazo zinahusika moja kwa moja na udhibiti wa uzalishaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline mwilini.



Mojawapo ya homoni hizi ni serotonin, ambayo hufanya kazi kama breki inayodhibiti kasi ya mchakato huu.



Sasa,



hebu fikiria serotonin kama mpini wa kufunga mrija wa maji kwenye bomba la pipa lako la maji.



Wakati mpini huo unafanya kazi vizuri, maji yanatoka kwa kiasi kidogo, polepole, na kwa udhibiti wa wewe mtumiaji.



Hii inamaanisha kwamba unaweza kudhibiti muda wa kutoa mbegu na hivyo kudumu zaidi katika tendo la ndoa kwa ujasiri mkubwa.



Lakini,



kama kuna uzalishwaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline mwilini,



mpini wa kufunga mrija huu unalegea, au kufyatuka na maji yanaanza kutoka kwa kasi kubwa.



Hii ni sawa na kinachotokea mwilini mwako unapokuwa na tatizo la kuwahi kutoa mbegu



—hakuna udhibiti wa kutosha wa mchakato huu, na hivyo, mbegu zinatoka haraka zaidi kuliko unavyotaka.



Njia rahisi ya kudhibiti tatizo hili ni kuhakikisha kwamba mpini wa kufunga mrija wa maji unafanya kazi vizuri.



Katika mwili wako, hii inamaanisha kuongeza uzalishaji wa serotonin na kuhakikisha kwamba norepinephrine na adrenaline unapunguzwa kwa kiasi kikubwa.



Kwa kufanya hivyo,



utaweza kudhibiti mchakato mzima na kufurahia tendo la ndoa bila hofu ya kumaliza mapema.



Kwa maelezo rahisi ni kwamba...



kuongeza uzalishaji mbubwa wa homoni hii ya serotonin, ambayo hufanya kazi kama breki



inayodhibiti norepinephrine na adrenaline ni sawa na kuhakikisha mpini wa mrija wa pipa la maji unafanya kazi vizuri,



na hivyo kuzuia maji kutoka kwa kasi isiyohitajika.



Unapoweza kudhibiti mambo haya, utaona mabadiliko makubwa kwenye utendaji wako wa kimwili,



na utaweza kudhibiti muda wa utoaji wa mbegu kwa ufanisi zaidi.



Kama Una wahi kutoa mbegu chini ya dakika 7, uzalishwaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline mwilini, Sio Rafiki Yako Mzuri.



Tazama,



kisababishi mojawapo cha kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 ni Mvurugiko wa Homoni.



Na uzalishwaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline mwilini ndio mrija wa maji kwenye pipa lako la maji mwilini unao zalisha Mvurugiko wa Homoni.



Kwahiyo, unaweza ukaona kwamba uzalishwaji mkubwa wa norepinephrine na adrenaline mwilini sio rafiki yako mzuri kwasababu asipodhibitiwa ataendelea kuzalisha Mvurugiko wa Homoni ambayo itapelekea kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7.



Nature’s way kwa kuligundua hilo wamefanikiwa kugundua kanuni ya kutengeneza vidonge ambavyo kwanza,



vinaenda kudhibiti mrija wa maji kwenye pipa unaozalisha norepinephrine na adrenaline iweze kuzalishwa kwa kiwango…



… ambacho hakitakuwa na madhara yoyote kwenye makuzi ya kuweza kuogeza muda wa kutoa mbegu wakati wa tendo la ndoa na pasipo dawa hii kuwa na side effect yoyote ile mwilini mwako.



Pili, vidonge hivyo vinaenda kuimalisha na homoni ya testosterone na kukuwezesha kuwa na hamu ya kurudia zaidi ya bao 3 kama mwanzo.



Si hivyo tu…



Kwakuwa inakisiwa kwamba visababishi vingine vya kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7



kutokea ni magonjwa ya uzeeni kama kisukari, presha, mwili kufa ganzi, viungo kuuma n.k …



vidonge hivi vimetengenezwa katika namna ambayo itasaidia kupunguza makali ya magonjwa hayo yote ya uzeeni.



Kwahiyo,



ukitumia vidonge hivi vitakusaidia kuondoa tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 na kuzuia



lisijirudie tena na vidonge hizi vitakusaidia kupunguza makali ya magonjwa ya uzeeni.



Kwakuwa kazi ya vidonge hivi ni kuwezesha na kuongeza homoni ya serotonin,



ambayo hufanya kazi kama breki inayodhibiti mvurugiko wa homoni na kuzuia kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7.



Nature’s way wamevipatia vidonge hivi jina la C24/7 NATURA CEUTICALS (Yaani vijenzi mwili na homoni ndani ya masaa ishilini na nne siku saba za wiki).





C24/7 NATURA CEUTICALS ni vidonge ambavyo vimetengenezwa kwa kirutubisho lishe kinachoitwa 5-HTP (5-Hydroxytryptophan)



kutoka kwenye mmea asili ambayo husaidia kuongeza uzalishaji wa serotonin unao itwa Griffonia simplicifolia.



Kirutubisho hiki ndio kinavipa vidonge hivi upekee na uwezo wake wa kusaidia kuongeza uzalishaji wa homoni ya serotonin,



ambayo ina jukumu muhimu katika kudhibiti wa mvurugiko wa homoni na hivyo kusaidia katika kuzuia tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 kwako.



Vidonge hivi vimetengenezwa kiasilia kabisa katika namna ambayo haitaleta madhara ya aina yoyote ile mwilini mwako.

Si hivyo tu…



Vidonge hivi vimethibitishwa na mamlaka za chakula na dawa (FDA) duniani na TMDA kwa hapa Tanzania.

Kwahiyo,



wasiwasi wako wa kupata madhara yoyote baaba ya kutumia vidonge hivi uweke pembeni kabisa. Vidonge hivi ni salama kwa afya ya mwili wako.



Utakapoanza kutumia vidonge hivi siku hadi siku.... wiki hadi wiki...



Utashangazwa sana kwa mabadiliko utakayoanza kuyaona.



Kuwa na uwezo mkubwa wa kudhibiti msongo wa mawazo na kuwa na hali ya utulivu zaidi.



kuongeza nishati na stamina, hali ambayo itakuwezesha kuimarisha nguvu za kiume na hivyo kuongeza muda wa kushiriki tendo la ndoa.



Kupata Usingizi mzuri kila siku kuimarisha afya ya mwili na akili, na hivyo kuchangia kuboresha utendaji wa tendo la ndoa.



kuongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa, hali ambayo itasaidia kuboresha uhusiano wa kimapenzi.



Faida hizi zinaweza kuonekana taratibu kadri unavyoendelea kutumia vidonge hivi.



Kiufupi baada ya kumeza vidonge hivi changamoto na karaha zote zitokanazo na kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 zitaisha kabisa.



Mfumo wako wa uzazi utarudi kuwa kama wa kijana wa miaka 23.



Hakika Vidonge Hivi Ni Tiba Mpya Na Ya Kipekee Ambayo Haijawahi Kugunduliwa!



Usiyaamini maneno yangu. Baadhi ya watu waliotumia vidonge hivi wana yafuatayo ya kusema:



"Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kuwahi kutoa mbegu kwa muda mrefu,


na hilo lilikuwa linanipa hofu kubwa sana.


Nilijaribu dawa nyingi bila mafanikio hadi rafiki yangu aliponitambulisha kwenye bidhaa ya C24/7 NATURA CEUTICALS.


Baada ya kutumia kwa mwezi mmoja, nilianza kuona mabadiliko makubwa.


Nimepata utulivu wa akili, usingizi mzuri, na sasa naweza kudhibiti hali yangu ya kutoa mbegu.


Bidhaa hii imenisaidia sana na imerudisha furaha katika ndoa yangu."


Jina: John, Dar es Salaam

Umri: 38

"Nimekuwa na msongo wa mawazo kutokana na kazi yangu ya biashara,


na hilo lilisababisha tatizo la kuwahi kutoa mbegu.


Nilikuwa na wasiwasi sana, lakini baada ya kutumia C24/7 NATURA CEUTICALS kwa wiki kadhaa,


nimeona tofauti kubwa. Nimeweza kudhibiti hali hiyo,


na sasa naweza kushiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi.


Bidhaa hii ni bora sana na nawashauri wanaume wengine wenye tatizo kama hili waiangalie."

Jina: Hamisi, Mwanza

Umri: 45

"Kama mwanaume mwenye umri wa miaka 50,


nilianza kukumbwa na tatizo la kuwahi kutoa mbegu kutokana na msongo wa mawazo kazini.


Rafiki yangu aliniambia kuhusu C24/7 NATURA CEUTICALS, na nikaamua kujaribu.


Niliona mabadiliko baada ya kutumia kwa wiki tatu; nimepata nguvu zaidi na ninaweza kudhibiti muda wangu wa kushiriki tendo la ndoa.


Hii ni bidhaa ya ajabu na naipendekeza kwa wengine wenye tatizo kama hili."


Jina: Daudi, Morogoro

Umri: 50

"Mume wangu alikuwa akipata shida ya kuwahi kutoa mbegu kwa muda mrefu,


hali ambayo ilikuwa inaathiri uhusiano wetu. Baada ya kusikia kuhusu C24/7 NATURA CEUTICALS kutoka kwa marafiki,


tuliamua kujaribu. Tuliona mabadiliko baada ya wiki mbili tu za matumizi.


Sasa anaweza kudhibiti vizuri hali yake na uhusiano wetu umeimarika zaidi.


Nashukuru sana kwa bidhaa hii."


Jina: Mwajuma, Arusha

Umri: 40

"Nilikuwa na hofu sana kuhusu tatizo la kuwahi kutoa mbegu,


hasa kwa kuwa nilikuwa nikipata msongo wa mawazo mwingi kazini.


Nilihisi kama sikuwa na suluhisho hadi niliposikia kuhusu C24/7 NATURA CEUTICALS. Baada ya kutumia kwa mwezi mmoja,


nimeshuhudia mabadiliko makubwa. Usingizi wangu umeimarika, naweza kudhibiti tatizo hili vizuri, na kwa kweli nimepata utulivu wa akili.


Ni bidhaa inayostahili kutumika."


Jina: Peter, Dodoma

Umri: 43



Kama unavyoona, hicho ndicho walichokipata baadhi ya wahanga wa tatizo la kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 baada ya kutumia vidonge vya C24/7 NATURA CEUTICALS.



(Hao ni wachache tu ambao wameruhusu taarifa zao zitumike kama shuhuda kwa wengine.



Hatutoi taarifa endapo mhusika hajalidhia. Kwahiyo wapo wengi sana ambao wamepona lakini hawajalidhia taarifa zao zitumike)



Dozi kamili ya kusaidia kurejesha utulivu wa homoni na kuondoa tatizo la kuwahi kutoa mbegu ni siku 180. Kama tatizo lako sio kubwa sana,



kuna uwezekano wa kuona matokeo chanya kabla ya siku 180 kumalizika.



Hata hivyo, tunashauri umalize dozi kamili ili kuhakikisha tatizo hilo halijirudii tena.



Matumizi ya C24/7 NATURA CEUTICALS ni kama ifuatavyo:



Unatakiwa kumeza vidonge hivi mara mbili kwa siku (2x1), yaani kidonge kimoja asubuhi na kingine jioni.



Muda mzuri wa kumeza ni asubuhi kabla ya kula na jioni baada ya chakula cha usiku.



  • Asubuhi: Unameza kidonge kimoja kabla ya kula. Baada ya kumeza, subiri angalau nusu saa kabla ya kula kitu chochote. Hii inasaidia dawa kufanya kazi kwa ufanisi zaidi mwilini.



  • Jioni: Unameza kidonge kimoja baada ya kula chakula cha usiku. Baada ya kula, subiri angalau saa moja kabla ya kumeza kidonge. Hii inahakikisha dawa inafanya kazi ipasavyo wakati mwili unashughulikia mchakato wa usagaji wa chakula.



Jambo Muhimu Kuhusu Matumizi ya Dawa Nyingine:


Kama kuna dawa nyingine unatumia kwa ajili ya matatizo mengine ya kiafya, usizikatishe ghafla.



Endelea kuzitumia kwa muda wa wiki mbili huku ukianza na C24/7 NATURA CEUTICALS.



Hakikisha unazitumia dawa hizo kwa muda tofauti na C24/7 NATURA CEUTICALS,



kwa kutenganisha angalau masaa 2 kati ya dozi za dawa hizi na C24/7 NATURA CEUTICALS.



Kwa kufanya hivi,



baada ya siku chache tu utaanza kuona mabadiliko kwenye mwili wako, ikiwemo utulivu wa akili, usingizi mzuri, na kuboreka kwa afya ya jumla.



Na baada ya mwezi mmoja au zaidi, utaona mabadiliko makubwa kwenye tatizo la kuwahi kutoa mbegu,



likiwa limepungua sana au kuisha kabisa.



Homoni zako zitaanza kuwa sawa, na maisha yako ya ndoa yataimarika kwa kiwango kikubwa.



GHARAMA YA TIBA HII IPOJE?



Tiba za matatizo ya kuwahi kutoa mbegu chini ya dakika 7 kutoka makampuni mengine dozi ya miezi 3 ni 1,000,000/=



Kwahiyo nikisema utaipata kwa 540,000/= itakuwa ni bei rafiki sana.



Ukizingatia Nature's way wametumia mabilioni ya pesa kufanya utafiti wa kugundua



kirutubisho lishe hiki na pia



utengenezaji wa tiba hii unatumia teknolojia ya kisasa hivyo gharama zinazotumika kutengeneza C24/7 NATURA CEUTICALS zipo juu sana.



Kwahiyo kwa 540,000/= unakuwa umepata bei rafiki ukilinganisha na bei ya makampuni mengine.



Lakini unajua nini?



Hutalipia hiyo 540,000/= kupata dozi kamili ya C24/7 NATURA CEUTICALS.



Pesa utakayolipia hata haifiki hiyo 540,000/=



Unaweza ukajipatia dozi kamili ya pakeji hii kwa…



TSH 450,000/=



Kuna sababu kwanini nimeamua kutoa punguzo la bei kubwa sana hivyo.



Sababu ni kwamba napata wateja wengi kupitia watu ambao wamepona kwa kutumia dozi hii.



Yaani watu ambao wamepona kwa kutumia dozi hii wamekuwa mabalozi wazuri wa kuniletea watu wengi wenye changamoto hiyo.



Kwasababu hiyo ndio maana nimetoa punguzo la bei ili kukupatia urahisi wa kupata dozi hii.



Kwakua nina imani 100% dozi hii itakusaidia kuongeza muda wako wa kushiliki tendo la ndoa hivyo hata wewe utakuwa balozi wangu mzuri wa kuniletea wahanga wengine.



Na hata hivyo…



Kama utashindwa kutoa 450,000/= yote kwa pamoja usijali unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka kumaliza dozi kamili.



Nimeweka utaratibu wa mtu kuchukua kwa awamu. Unaweza ukachukuwa dozi ya mwezi mmoja, miezi mitatu au dozi kamili ya miezi 3.



Lakini punguzo hili la bei na utaratibu huu wa kuchukuwa kwa awamu hautakuwepo siku zote.



DOZI hii ya C24/7 NATURA CEUTICALS inatengenezwa marekani. kwa sasa DOZI ambazo tumebaki nazo kwa hapa Tanzania ni DOZI ya watu 100 .



Kwahiyo, kwa watu 100 watakaokuwa wa kwanza kununua DOZI hii ya C24/7 NATURA CEUTICALS watapata OFA hii ya punguzo la



bei kwa kiwango chochote watakachokuwa wameanza nacho na watasajiliwa kwenye “Club” inayoitwa “AFYA MKONONI VVIP”.



Ukisajiliwa kwenye club hii faida yake ni kwamba utaendelea kupata punguzo la bei kwa oda zingine utakazoagiza zaidi na zaidi hata kama bidhaa zingine zitaletwa kutoka Marekani.



100 wanaonekana watu wengi lakini kumbuka sio wewe peke yako unaesoma ujumbe huu sasa hivi.



Kuna wengine kama 100 na zaidi wenye shauku kubwa ya kuondokana na KUWAHI KUTOA MBEGU wanasoma.



Na kulingana na upekee wa DOZI hii ya C24/7 NATURA CEUTICALS nina uhakika ndani ya siku kadhaa au wiki kadhaa watu hao 100 watakuwa tayari wamechukua oda zao.



Baada ya Oda hizo 100 kuchukuliwa tutakuwa hatuna dawa zingine kwenye stoo yetu kwahiyo itakubidi usubiri siku 120 (miezi 4) kuja kwa mzigo mwingine wa C24/7 NATURA CEUTICALS kutoka marekani.



Kwahiyo chukuwa Oda yako mapema kwasababu zipo Oda za watu 100 tu kwa sasa.



Pengine umetumia dawa za aina mbalimbali lakini hazijakusaidia kupona tatizo lako.



Zaidi umeishia kupoteza pesa zako bure na unaogopa kuzidi kupoteza.



Naelewa unavyojisikia lakini kukuhakikishia kwamba C24/7 NATURA CEUTICALS itakusaidia kuondokana na tatizo lako na likaisha kabisa,



C24/7 NATURA CEUTICALS utaipata kwa dhamana (Guarantee).



Dhamana hii iko hivii…



Tumia C24/7 NATURA CEUTICALS kwa muda wa siku 90 nina uhakika utaipenda.



Ikitokea kwa sababu yoyote ile hujaipenda C24/7 NATURA CEUTICALS au haijakupatia matokeo yote niliyoyasema hapo juu piga simu +255 755 181 922 kutoa taarifa na utarudishiwa pesa zako zote bila kuulizwa swali lolote.



Aidha C24/7 NATURA CEUTICALS ikusaidie upone tatizo lako kabisa au nikurudishie pesa zako zote. Huna cha kupoteza.



Hata hivyo nina uhakika utakavyoanza kuitumia C24/7 NATURA CEUTICALS siku hadi siku...



wiki hadi wiki utasitaajabishwa kwa matokeo utakayoyapata na wala hutokumbuka tena kuomba kurudishiwa pesa zako hata kama ningekwambia nakurudishia mara mbili ya pesa uliyoitoa.



Unachotakiwa kufanya kwa sasa angalia mpangilio wa dozi hapa chini kisha jaza fomu ili kutuma oda ya dozi utakayoanza nayo.



  • Dozi ya mwezi mmoja 180,000 ILA UTALIPA 150,000/=
  • Dozi ya miezi miwili 360,000 ILA UTALIPA 300,000/=
  • Dozi ya miezi mitatu 540,000 ILA UTALIPA 450,000/=


Malipo yote yanafanyika kwa njia ya M-PESA au CRDB Bank.



Namba ya M-PESA ni


+255 755 181 922


Jina ni


KHALIFA KHALID ABDALLAH



Namba ya Account ya CRDB ni


4104100504426136


Jina ni


KHALIFA KHALID ABDALLAH



Kwa mtu wa Dar es Salaam hutakiwi kutuma hela kwasababu utaletewa mpaka popote



utakapokuwa kwa gharama zangu mwenyewe halafu baada ya kupokea mzigo wako ndipo utakapofanya malipo.






Kwa wa mkoani unalipa kwanza pesa yote ya dozi utakayokuwa umechagua kupitia moja ya account za malipo hizo hapo juu halafu unaongezea na 10,000/= kama gharama za kusafirisha mzigo kwa njia ya bus kuja mkoani ulipo ndipo unatumiwa mzigo wako.



(Au Boat kwa wale wa Zanzibar)



Kwahiyo hatua ya kwanza ni kujaza fomu ya kutuma oda ya dozi uliyoichagua halafu baada ya hapo kama upo Dar unasubiri kuletewa siku uliyochagua na…



Kama upo mkoani baada ya kujaza fomu unafanya malipo kwanza ya gharama ya dozi na gharama ya kusafirisha halafu baada ya hapo mzigo wako unatumwa mkoani ulipo kwa njia ya bus au boat (wale wa zanzibar)



Kujaza fomu ni rahisi.



Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa “ODA YANGU”.



Baada ya kubonyeza sehemu hiyo itafunguka fomu ya kujaza taarifa zako na kutuma oda yako (Taarifa Zako zitatunzwa hatakuwepo mtu mwingine tofauti na mimi atakayejua kuhusu tatizo lako)



Bonyeza sehemu hii sasa hivi.



00
days
:
00
hours
:
00
minutes
:
00
seconds



Ahsante kwa muda wako,



Ni mimi,



KHALIFA KHALID ABDALLAH !



+255 755 181 922



P.S: Kama nilivyokwambia zipo oda za watu 100 tu kwa sasa.



Saa iliyopo hapo juu itakaposoma sifuri maana yake oda zote zimechukuliwa na tangazo hili hautoliona tena mpaka pale tutakapopata mzigo mpya na kuanza kutangaza kwa mara nyingine tena.



Kwahiyo,



usiendelee kusubiri wakati suluhisho la tatizo lako liko mbele yako. Tuma oda yako mapema kabla hujawahiwa.














This site is not a part of the FacebookTM website or FacebookTM Inc. Additinally, this site is NOT endorsed by FacebookTM in any way. FACEBOOKTM is a trademark of FACEBOOKTM, inc.

Powered by